Nenda kwa Firauni; kwani hakika yeye amepindukia mipaka.
Tafsir
Tabaka
Mafunzo
Tafakari
Majibu
Qiraat
Hadith
Enda, ewe Mūsā, kwa Fir'awn, kwa kuwa yeye amepitisha kipimo chake na ametoka kwenye utiifu wa Mola wake, umuite kwenye kumpwekesha Mwenyezi Mungu na kumuabudu.